👉 Sasa mama mkwe akasimama akaniambia maneno aya...👇
Wanangu niwaambie kitu muzingatie hili,
Mapenzi yanabebwa na mambo manne tu nalo la kwanza (ucha mungu) la pili ni (heshima) la tatu (upendo) na la nne ni (kujali)
yakikosekana hayo bas hakuna mapenz ya kililahi toka nafsin muvilinde mno hivyo ktk ndoa itayokuja Muda si mrefu,
Nimemwita mjomba yenu aje na shekhe awafungishe ndoa mimi nataka kuitwa mama mkwe mwenye kutamburika.
" Sasa nikaona mtihani huu ayawi ayawi sasa naoa kweli yani sijajibu naona shekhe uyo anakuja
Jamani na mimi napigwa ndoa ya mkeka pale yani akuna sherehe wala watu kula kunywa,
Shekhe akasimama akatupa mawaidha yake pale alisema,
" Siku Hizi Baraka Ya Ndoa Sio Kuolewa Au Kuoa Bali Baraka Ni Kuwa Na Ndoa Yenye Amani Na Furaha Wana Ndoa Wenye Subra Na Kuelewana. Kuna Ndoa Nyingi Sana Ila Ndoa Bora Ni Kidogo Sana Yaani Imefikia Mahali Ambayo Mwerevu Hawezi Kufikiria Jambo Je Mjinga Atasema Neno Kweli..?
Mwanamke Bora Huwa Chanzo Cha Furaha Na Amani Katika Ndoa Yake Kwani Ndoa Yenye Amani Baraka Huenea Nyumbani. Mume Bora Na Kiongozi Bora Huthamini Sana Uwepo Wa Furaha Katika Familia Yake Na Kwa Wazazi Wa Pande Zote Mbili,
Siku Hizi Mawifi Hawavunji Ndoa Wala Mama Wakwe Hawavunji Ndoa Bali SIMU Zetu Ndio Chanzo Cha Ndoa Nyingi Kuvunjika Kwa Sababu Mume Anaweza Kuona Mwanamke Wa Mtandaoni Ni Bora Zaidi Kuliko Mke Wake Wa Halali. Mke Naye Akaona Kuchart Na Wanaume Mitandaoni Ni Bora Zaidi Kuliko Kumuandalia Chakula Mumewe. Ndugu Zangu Katika Imani Tuwe Makini Na SIMU Zetu Kwani Ndoa Ni Tamu Sana Iwapo Wana Ndoa Watakuwa na uwadilifu tuwe wenye kulizingatia hili ili tuweze kuzilinda ndoa zetu inshaa allah.
" Jamani nikawa nashangaa hawa wapuuzi ukisoma machombezo yao kama maweu ila wana maneno mazuri nikasema kimoyoni nishakuwa mume wa mtu mimi sasa nikiwa na dem nje iyo nyumba ndogo.
" Walipoondoka mashekhe,
Mama mkwe akasema,
" Mwanangu wewe ni mume halali sasa unaweza kumkataza mkeo mambo usiyoyataka ila mkeo ana tatizo moja,
Akiwa na hasira au kuna kitu kinakuja Basi yeye anaweza..
Au Basi atakwambia mwenyewe maana imekaa vibaya na mimi ni mama.
" Moyoni nikacheka nikasema anashindwa kusema anajamba wakati mimi najua mke wangu mkundu wake wa maajabu,
Basi mama mkwe akaingia chumbani kwa mke wangu na mke wangu akaja chumbani kwangu namsikia mama mkwe amewasha redio kupitia simu yake,
Moyoni nikasema ataki kusikia miguno ya mwanawe uyu,
Na mimi nikawasha redio ya mke wangu aliileta wakati Sisi wachumba,
Sasa Leo namtomba kiharari sidhini tena,
Mke wangu akapanda kitandani akaniambia,
" Mume wangu Leo univue chupi mwenyewe uone kuma yangu ambayo sasa ni Mali yako Leo unanitomba kihalali aya nipo tayari kuvuliwa chupi mimi.
" Jamani maneno yake tu mimi uku mboo ishasimama,
Nikapanda kitandani kwa kazi moja tu,
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Comments
Post a Comment