MGUU JUU 20

 


Sehemu ya 20


👉 Moja mbili ta...👇


( Kabla ajamalizia tatu mimi Nikamwambia boss)


" Boss ata Mungu aliteketeza kizazi kwa sababu ya usodoma ichi kinachotakiwa kufanyika hapa kinaweza kupukutisha UTAJILI wako naomba msamehe na asije kuludia tena uyu.


( Dumbwi anashangaa naita boss na hapo hapo boss kusikia neno kufilisika akasema)


" Kijana mshukuru sana uyu amenikumbusha jambo Zito sana ila Leo ungefilika chunga mke wa mtu sumu mbwa wewe.


( Mganga yule ananiona nuxsi alikuwa anataka audungunyue mkundu wa dumbwi..juma akaniona ni mtu mwenye of ya Mungu kumbe wapi...na ufahamu mke wa boss ulimjia akajifanya kuwaka sana uko nje)


" Kumamae waganga wa kienyeji. 


( Boss alitoka akamwambia mkewe)


" Usitukane aikuwezekana ila unatakiwa uwe na Mungu sana ili madawa ya kisenge senge kama aya yasikuvae.


( Wakati tunaondoka mimi moyoni nasema kuanzia Leo sitombi tena mke wa mtu kumbe unaweza ukafilwa ivi ivi dumbwi si angefilika Leo nawaza uku naondoka zangu...upande wa baba sasa kilanga chake akauza nyumba pesa kampa mwanamke yule demu alinipigia akaniambia)


" My nimekutumia pesa hapo kwenye tigo pesa ila one day nitakutafuta.


( Kabla sijamjibu akakata simu kuangaria sms ya muamara ni laki sita ndio nimetumiwa nampigia simu simpati hewani nikakaa kwenye lindo langu sasa mpaka asubui boss alivyoondoka jimama akanifata akaniambia)


" Shabani kuanzia sasa mimi nitakuwa na mume wangu tu yale ya nyuma tuyaache naomba uniheshimu nimejifunza kitu kwenye aya maisha.


" Poa.


( Basi upande wa dumbwi na yeye akaacha ujinga wote akaenda kutafuta kazi ya kufanya mambo ya wake za watu akayapitia mbali ataki ata kusikia tena maana kakoswa koswa pumbu...sasa baba uko akajua demu kashakimbia na pesa akaweuka anamtafuta kila Kona wapi mwishoni akaenda kukaa kwa rafiki yake aliyekuwa anampa ushauri abaki na mama akamuona ni mjinga rafiki yake alimpa chumba cha uhani mvua ikinyesha Kuna vuja baba anaongea peke yake)


" UMALAYA wa uzeeni ujinga sana mimi wa kukaa humu kweli wenzangu na mvua izi wanalala vizuri mimi nimesimama😭😭😭.


( Kilio cha baba kilimfanya rafiki yake anitafute mimi na mimi wakati huo mkojo autoki naumwa nipo hospital pesa niliyopewa na yule demu wa baba ndio zimenisaidia kupigwa bomba kuzibuliwa tundu ya mkojo yani kufila akuna maana yoyote ni mateso tu ya baadae...nilipona ila mboo aina nguvu kama mwanzo...napata taharifa za baba sina uwezo wa kumsaidia ilibidi nipige simu kwa bibi kijijini nimwambie yaliyotokea sasa bibi akasema)


" Uyo binti kaondoka na ulithi wenu ila atajua ajui hili swala simshilikishi mama yako kwa sababu mama yako ana roho ya huluma.


( Jamani nilijuta kumwambia bibi alimloga yule demu akawa chizi anatembea uchi wa mnyama Jamani uchawi upo kumbe baazi ya machizi mjini wana sababu ya kuwa machizi...yule demu sasa akawa chakura cha wauni...baba alikuja kumuona akumuonea huluma akasema)


" Mungu amekulani.


( Kumbe sio Mungu ni binadamu na ila zao tu bibi akaniambia)


" Wewe mshenzi uje kijijini kuna mimba yako uku kumbe siku ulipokuja ulifanya ngono uku.


( Jamani niliagana na jiji uku nimejifunza mengi juma rafiki yangu nilimshukuru kwa kunitafutia kazi ila sikutaka ata kumuaga kungwi yule najua angeniludisha topeni nimeludi zangu kijijini na akili timamu sitaki mkundu wala mke wa mtu...bibi alinisimamia kwenye ndoa yangu na yule binti...maisha ya baba mjini yakawa ya kuokota makopo ya uhai anaenda kupima apate kula kwa kulala kupo...akuna anayemuonea huluma mwenye kilanga apewi pole....)


Sina mengi kwenye simulizi hii kikubwa mkundu na mke wa mtu na mume wa mtu vyote ni vibaya kuwa makini wewe uliyekuwa mwanzo wa simulizi hii mpaka hapa nilipoishia. 



Mwisho mwisho mwisho

±255747334474




Comments