SINDANO ZA MAHABA


 

ACHA KISIRANI

Mtu wa kwanza kumfariji mumeo ikiwa amerudi nyumbani bila kitu Ni WW πŸ‘Œ πŸ’•sio mumeo anarudi nyumbani bila kazigo mkononi unavuta Domo linarefuka km  chupaπŸ‘ŒπŸ˜ πŸ’•


_


Siku mumeo akikosa ndio siku AMBAYO unatakiwa umpe Raha zote za dunia mpaka apate akili mpya za kutafuta kesho yakeπŸ‘ŒπŸ‘Œ πŸ’•siku hiyo ukampe hata juu ya kabati au uvunguni.


_ Na umbebe mgongoni alale upooo bibie πŸ˜€πŸ”₯πŸ‘Œ.. πŸ’•Ukiwa mtu wa tabasamu muda wote kwa mumeo utamfanya awe na afya nzuri na anenepe. Ukiwa na tabia ya visirani na dharau utamuua mapema mumeo na utabaki mjane manina wwπŸ‘ŒπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… _



Comments