Featured post

MGUU JUU 20

SINDANO ZA MAHABA


 

ACHA KISIRANI

Mtu wa kwanza kumfariji mumeo ikiwa amerudi nyumbani bila kitu Ni WW πŸ‘Œ πŸ’•sio mumeo anarudi nyumbani bila kazigo mkononi unavuta Domo linarefuka km  chupaπŸ‘ŒπŸ˜ πŸ’•


_


Siku mumeo akikosa ndio siku AMBAYO unatakiwa umpe Raha zote za dunia mpaka apate akili mpya za kutafuta kesho yakeπŸ‘ŒπŸ‘Œ πŸ’•siku hiyo ukampe hata juu ya kabati au uvunguni.


_ Na umbebe mgongoni alale upooo bibie πŸ˜€πŸ”₯πŸ‘Œ.. πŸ’•Ukiwa mtu wa tabasamu muda wote kwa mumeo utamfanya awe na afya nzuri na anenepe. Ukiwa na tabia ya visirani na dharau utamuua mapema mumeo na utabaki mjane manina wwπŸ‘ŒπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… _



Comments